[ VIDEO ]: JAMBO LA KUFANYA ILI KUFIKA UNAKOKWENDA
Habari Rafiki; Nimekuwekea video nyingine hapa ambayo ninaeleza jambo muhimu la kufanya ili kufika unakokwenda. Kisha CHUKUA HATUA.
[ VIDEO ]: JAMBO LA KUFANYA ILI KUFIKA UNAKOKWENDA Read More »
Habari Rafiki; Nimekuwekea video nyingine hapa ambayo ninaeleza jambo muhimu la kufanya ili kufika unakokwenda. Kisha CHUKUA HATUA.
[ VIDEO ]: JAMBO LA KUFANYA ILI KUFIKA UNAKOKWENDA Read More »
Habari rafiki yangu na mfatiliaji wa mtandao huu wa shuletanzania. Katika mfululizo wa makala zangu za kukuonyesha ni product gani zinazotengenezwa kwa njia rahisi na kutengeneza pesa nyingi. Nimekufundisha kuhusu mambo mengi hasa kupitia channel yangu ya yutube, unaweza kuangalia kama hujafanikiwa kuona video hiyo. Leo nakushirikisha kuhusu mgodi mwingine ambao bado watu hawajaujua sana
PATA FAIDA KWA KUTENGENEZA NA KUUZA MAFUTA YA NAZI Read More »
Kwenye jengo lefu hasa Ghorofa ukiingia ndani ya jengo hilo utakuta namna mbili za kukutoa chini na kukupeleka juu au kwenye floor mojawapo katika jengo hilo. Namna hizo mbili ni lifti au ngazi. Lifti umfikisha mtu haraka sana lakini njia ya ngazi huchosha kama unaenda mbali kwa juu. Hivyo watu wengi hupendelea kupanda lifti. Tunaporudi
Kama biashara yako haiko mtandaoni unapoteza wateja. Natumai unaendelea vizuri na harakati za kuboresha maisha yako.Napenda leo nikukumbushe kitu muhimu sana, najua umekuwa ni miongoni mwa watu ambao wanatumia mitandao ya kijamii mara kwa mara, je unafaidika nini na mitandao hiyo?Je kuna kiasi chochote unachoingiza au unatumia tu kuliko kuingiza?Tambua kuwa ni muhimu kuwa na
KAMA BIASHARA YAKO HAIKO MTANDAONI UNAPOTEZA WATEJA WAKO Read More »
Habari rafiki yangu, naamini uko vizuri na unaendelea na harakati za kuboresha maisha yako. Leo napenda kukushirikisha umuhimu au faida iliyo katika kazi ya KUJITOLEA. Kujitolea ni kitendo cha kuamua au kuomba kufanya kazi flani bila ya ujira au malipo yoyote yale. Nimekuwa nikizungumzia sana hili hasa pale napokuwa nawashauri vijana ambao wamehitimu mafunzo mbalimbali
FAIDA ZA KUJITOLEA Read More »
Hakuna mtu ambaye ni mkamilifu katika maisha yake, na haimaanishi wewe kutokuwa mkamilifu huna cha kumsaidia wengine.Kila chenye pungufu kina sehemu flani ambayo ni lulu katika maisha yake na ya wengine. Usidhani mtu kuwa na mapungufu Mungu hawezi kukuona na kukutumia kufanya mambo makubwa. Nikupe mfano mmoja wa Zakayo mtu mfupi aliyekuwa mtoza ushuru na mtenda
HII NDIO AKILI YA USHINDI. Read More »
Habari rafiki;Natumai uko vizuri na unaendelea na majukumu yako ya kila siku. Asante sana kwa kuendelea kuwa na mimi kila siku, umekuwa ukisoma makala zangu hapa na hata kusikiliza na kuangalia video zangu Yutube, asante sana kwa hilo.Leo napenda kukushirikisha msomaji wangu aina ya mtaji ambao kila mtu anao lakini hatuna uwezo wa kuudhibiti kabisa.Mtaji
MTAJI WA KILA MTU LAKINI HAWEZI KUUDHIBITI Read More »
Je! umeshawahi kuchunguza ni page gani ulizozifaata zaidi kwenye mitandao ya kijamii? Je, ni page za udaku, au habari tu, au za marafiki wengi na wengineo hata wasio na utaratibu katika vitu wanavyopost, au za mafundisho yanayokujenga na kukuinua katika kufikia ndoto yako? Utafiti wangu husio rasmi unaonyesha, karibu 85% ya watanzania wengi wanapenda kufaata
TUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA. Read More »
Habari rafiki yangu na msomaji wa mtandao huu wa SHULE TANZANIA Nipende kukushukuru kwa kuendelea kutembelea ukurasa huu na kurasa zangu zote mitandaoni na kufatilia mafunzo yangu ambayo nimekuwa nikiwapa kila siku juu ya namna mbalimbali za utengenezaji wa Bidhaa mbalimbali za viwandani kama vile Sabuni za mche, sabuni za Unga, sabuni za maji, chaki,
HUYU MTU NDIYE ADUI WA MAENDELEO YAKO. Read More »
Habari kijana mwenzangu;Harakati zinaendelea. Kwa wale ambao tayari wameshajifunza jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kutumia kitabu changu na umekuwa au umevutiwa na utengenezaji wa SABUNI YA MAJI sasa imerahisishiwa kazi na utaweza kuzalisha sabuni ya maji nyingi kwa muda mchache. Hii ni aina ya mashine ambayo inafanya mixingi ya ujazo mkubwa wa sabuni yako ya
RAHISISHA UTENGENEZAJI WA SABUNI YA MAJI KWA MASHINE HII NDOGO. Read More »