TENGENEZA PESA KWA MTANDAO

MAMBO NANE (8) MUHIMU SANA YA KUFAHAMU KABLA YA KUTENGENEZA BATIKI.

Habari rafiki yangu, naamini unaendelea vizuri na mapambano ya kuboresha maisha yako.   Kama ilivyo kawaida yangu nakufunulia fursa mbalimbali ambazo ukiamua kuchukua hatua unaweza kubadili maisha yako kabisa. Cha msingi sana ni kuchukua hatua. Leo nakuletea fursa ya kutengeneza batiki, fursa ambayo si wengi sana wanaijua kwa maana ya jinsi ya kutengeneza, hata kama […]

MAMBO NANE (8) MUHIMU SANA YA KUFAHAMU KABLA YA KUTENGENEZA BATIKI. Read More »

ZIJUE MBINU ZA JINSI YA KUFANYA BIASHARA MTANDAONI.

Angalia picha hii vizuri na ujifunze kitu… Najua kuna watu wengi wanatamani kufanya biashara mtandaoni kama hapa facebook na watengeneze pesa, na nimeona watu wengi wakipost picha za bidhaa zao kwenye wall zao. Lakini je…umeshawahi kupata wateja kama ulivyotaka? Au watu wameishia kulike picha za bidhaa zako tu na kuondoka? Umeshawahi kujiuliza kwanini bidhaa yako

ZIJUE MBINU ZA JINSI YA KUFANYA BIASHARA MTANDAONI. Read More »

NJIA MUHIMU SANA UNAZOWEZA KUTUMIA LEO KUTENGENEZA FEDHA KWENYE MTANDAO WA INTERNET KWA WENYE TAALUMA YA UALIMU.

Ualimu ni moja ya taaluma muhimu sana kwenye jamii yoyote. Walimu ndiyo wanaoijenga jamii kutokana na malezi wanayotoa kwa watoto ambao ni kizazi kinachokuja. Pamoja na umuhimu huu mkubwa wa taaluma ya ualimu, maslahi yamekuwa siyo mazuri. Walimu wamekuwa ndiyo watu wa kulalamika kila siku kuhusu mishahara midogo na kutokuendana na gharama za maisha. Hapo

NJIA MUHIMU SANA UNAZOWEZA KUTUMIA LEO KUTENGENEZA FEDHA KWENYE MTANDAO WA INTERNET KWA WENYE TAALUMA YA UALIMU. Read More »

NJIA KUMI (10) UNAZOWEZA KUANZA KUTUMIA LEO KUTENGENEZA FEDHA KWENYE MTANDAO WA INTERNET.

Je wewe unatumia mtandao wa intaneti? Una simu ya kupangusa (smartphone) ambayo unaweza kuitumia kutembelea mitandao ya kijamii? Najua majibu yako ni ndiyo, kwa sababu mpaka umesoma hapa, lazima uwe unatumia mtandao wa intaneti. Sasa swali muhimu zaidi ni hili; Je umekuwa unatengeneza fedha kwenye mtandao huu wa intaneti kadiri unavyoutumia? Ulishatengeneza hata elfu moja,

NJIA KUMI (10) UNAZOWEZA KUANZA KUTUMIA LEO KUTENGENEZA FEDHA KWENYE MTANDAO WA INTERNET. Read More »