HAMASIKA

DON’T WAIT UNTILL THINGS GET READY!

Nilikutana na huyu mtu James mwang’amba back 2009, alikuwa akifundisha somo la self development kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na nilipata bahati ya kuhudhuria mafundisho yake kwa siku 2 mfululizo! Alizungumza kitu ambacho kili stick katika kichwa changu ambapo alisema USISUBIRI MPAKA MAMBO YAWE SAWA KUPIGANIA NDOTO ZAKO!! Kwa mara ya kwanza sikumuelewa kabisa, kwa […]

DON’T WAIT UNTILL THINGS GET READY! Read More »

Njia 14 Halali za Kupata Pesa Kupitia Blog

Je unatafuta njia ya kujipatia pesa kwenye mtandao ambayo siyo ya utapeli? Blog ni njia moja wapo unayoweza kuitumia kujipatia fedha huku ukifanya kile ukipendacho. Katika makala hii nitakushirikisha njia 14 unazoweza kuzitumia kupata pesa kwa kutumia blog yako. Kumbuka! Hizi si njia za kupata pesa za mteremko haraka haraka kwa usiku mmoja. Kamwe usidanganywe

Njia 14 Halali za Kupata Pesa Kupitia Blog Read More »

EIMU NA UHALISIA WA MAISHA

Profesa wa Chuo kikuu cha Makelele nchini Uganda, aliwambia wanafunzi kuwa:Mafanikio ya kielimu hayana uhalisi katika maisha. Niliyasema haya: Kuwa mtu wa kwanza darasani kwako hakuamanishi wewe utafanikiwa kimaisha. Unaweza kumaliza chuo kama mtaalamu wa fedha au uwekezaji na haiamanishi kwamba wewe utapata au utakuwa fedha nyingi kuliko wengine. Mwanafunzi mwenye ufaulu na shahada ya

EIMU NA UHALISIA WA MAISHA Read More »

Hatua Tano Muhimu Za Kufikia Malengo Uliyojiwekea

Hizi Ndizo Hatua Tano Muhimu Za Kufikia Malengo Uliyojiwekea. Habari rafiki, karibu katika makala nyingine ambayo tutazungumzia hatua 5 muhimu za kukusaidia wewe kufikia malengo yako uliyojiwekea. Ninatambua kila mwaka huwa unaweka malengo makubwa sana lakini huyafikii kwa sababu mbalimbali. Nimekuwekea hatua 5 za kupitia ili uweze kutimiza ndoto zako, twende pamoja. 1. Ni lazima

Hatua Tano Muhimu Za Kufikia Malengo Uliyojiwekea Read More »

STORY YA CHURA KATIKA MAFANIKIO YAKO

*CHURA* Mchukue chura then muweke kwenye chombo ambacho ni good conductor of heat kikiwa na maji ndani yake,then anza kuchemsha maji akiwemo na chura ndani yake..! Kadri temperature inavyo ongezeka chura nae huwa ana increase temperature ya mwili wake. pindi temp  inapokaribia kufika boiling point yaani nyuzi 100 chura atashindwa kuongeza temperature ktk mwili wake

STORY YA CHURA KATIKA MAFANIKIO YAKO Read More »