STORY YA CHURA KATIKA MAFANIKIO YAKO

*CHURA*

Mchukue chura then muweke kwenye chombo ambacho ni good conductor of heat kikiwa na maji ndani yake,then anza kuchemsha maji akiwemo na chura ndani yake..!

Kadri temperature inavyo ongezeka chura nae huwa ana increase temperature ya mwili wake. pindi temp  inapokaribia kufika boiling point yaani nyuzi 100 chura atashindwa kuongeza temperature ktk mwili wake na hapo ndipo atataka kutoka ktk maji hayo ya moto na yanayo endelea kuchemka!

kutokana na kutumia nguvu nyingi sana ktk kuongeza temperature ktk mwili wake,pindi anapotaka kuruka atashindwa na atakufa humo ndani ya chombo cha maji yanayochemka.

*SWALI;*

*NINI KIMEMUUA CHURA.!??*

Najua utaniambia ni maji ya moto…

La hashaa.!

kilichomuua chura ni kushindwa kufanya maamuzi mapema ya kutoka katika chombo cha maji yanayochemka hali ya kuwa bado nguvu anazo..

*FUNZO*

Fanya maamuzi sahihi sasa kabla nguvu za kutaka kufanya changes hazijakuishia kama yaliyomkuta chura..

*NOTE*

Kuvumilia jambo usiloliweza ni sifa ya Chura.

BADILIKA

Nikutakie siku njema.

Pius J. Muliriye
0754745798

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *