HIKI NDIO KITU CHA KUFANYA MUDA WA LIKIZO
Habari rafiki mpenda maendeleo, naamini unaendelea vizuri na harakati za kuboresha maisha yako.Naamini wewe unayesoma hapa ni mfanya kazi au mwanafunzi au hata mjasiliamali.Napenda kukudokezea wewe kijana mwenzangu kwamba hiki ndicho unatakiwa kukifanya wakati wa likizo kama wewe ni mfanya kazi au mjisiliamali. Kama unataka kuongeza kipato chako basi unapaswa kufanya biashara hii ambayo ni […]
HIKI NDIO KITU CHA KUFANYA MUDA WA LIKIZO Read More »