HII NDIO MAANA HALISI YA ELIMU ULIYOIPATA DARASANI.
Habari rafiki yangu, naamini utakuwa poa sana na sikukuu ilienda vizuri kabisa. Karibu tena katika muendelezo wa makala zetu za kila siku, zinazotukumbusha na kutufundisha kuwa na mtizamo chanya katika maisha yetu. Watu wengi wamekuwa wakijidanganya kuwa ni wasomi sana na hata kufikia hatua ya kuwadharau watu ambao kwa bahati mbaya hawakuweza kusoma.Elimu uliyonayo ndugu […]
HII NDIO MAANA HALISI YA ELIMU ULIYOIPATA DARASANI. Read More »