BINTI NA MAAMUZI MAGUMU YA KUIGWA.

Habari rafiki,  nina imani unaendelea vizuri na mapambano ya kuboresha maisha,  nikutie moyo tu uendelee hivohivo ipo siku Mungu atajibu.  Kama kawaida yangu kukuletea makala za kukutia moyo kila siku leo nakuletea hii ya huyu dada.  Nilivutiwa sana na huyu dada na nikapata msukumo wa kuandika hili.  Anaitwa Asha,  anaishi Dar es Salaam  ni mhitimu […]

BINTI NA MAAMUZI MAGUMU YA KUIGWA. Read More »