HERI YA X-MASS NA MWAKA MPYA WA 2017

Mimi kama C.O wa blog ya www.shuletanzania.info na facebook page ya THINKBIGSTARTSMALL napenda kuchukua fursa hii kuwatakia sikukuu njema wote wanofatilia makala zangu mbalimbali kwenye blog yangu ya www.shuletanzania.info na niwatakie mafanikio makubwa mwaka ujao 2017.

Nipigie simu kwa ushauri,  kama umejaribu kujikwamua kimaisha na bado umeshindwa,  nitakushauri na utaweza kuamka tena.
Kama utahitaji kushauliwa kuhusu kufanya biashara katika mtandao na hujui uanzie wapi,  nipigie nikusaidie mawazo,  ninaamini utafanikiwa na utaanza kupata faida na mtandao kama facebook,  whatsapp,  twitter na blog.

Asanteni sana na ushirikiano wenu.

Wasiliana nami kwa namba hizi,

Pius Justus Muliriye
0754745798
0657128567

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *