USIOGOPE KUSHINDWA

Habari rafiki;
Katika video yetu ya leo ningependa tuongelee mada inayoitwa USIOGOPE KUSHINDWA.
watu wengi sana wanashindwa kufikia ndoto zao kwa sababu tu wanafikiri watashindwa na watachekwa kwa kushindwa kwao.

Ndugu yangu, katika kusaka mafanikio kushindwa njiani ni jambo la kawaida sana, endelea kupambana hata kama unaona kuna dalili ya kushindwa wewe endelea tu.

Michael Jordan alishawahi kusema;
” I am successful beacause I failed so many times”

Sikiliza video hii fupi upate kujifunza.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako;

PIUS JUSTUS MULIRIYE
0754745798

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *