Mwaka 2020 unaelekea ukingoni sasa,!
Najua watu wengi wataweka malengo mapya, na ndio utaratibu wa watu wengi kila mwaka unapoelekea mwishoni.
Lakini mimi nakwambia ACHA “KUWEKA MALENGO”
Nini ufanye sasa???
- Tathmini malengo yako ya mwaka uliopita kama umeyatimiza au hapana.
- Kama hujayatimiza, chunguza sababu ilikuwa nini mpaka hujatimiza malengo yako.
- Ukishajua sababu ya kutotimiza malengo yako, tafakari utumie njia gani mbadala wa kuhakikisha unatimiza malengo yako kabla ya kuanza kuwaza malengo mapya.
- Anza sasa kufanyia kazi malengo yako ambayo hukuyatimiza mwaka uliopita.
- Weka deadline ya kutimiza malengo hayo.
- Baada ya hapo, muda wowote fikiria kuhusu malengo mapya sasa.
Hizo ndio sababu muhimu zilizonifanya nikuandikie ujumbe huu, kuwa ACHA KUWEKA MALENGO MAPYA kama hujatimiza malengo yako ya nyuma.💪
Unaweza sasa kupata nakala yetu ya kitabu cha MILIKI KIWANDA MILIKI UCHUMI moja kwa moja kwenye simu yako. Bonyeza DOWNLOAD kukipata kwa bei ya punguzo msimu huu wa sikukuu.
![](https://piusjustus.com/wp-content/uploads/2020/12/1575043547-1024x751.png)
Tufuatilie katika mitandao ya kijamii