KITABU: MILIKI KIWANDA MILIKI UCHUMI

Sasa unaweza kununua kitabu hiki moja kwa moja kwenye simu yako.

Bonyeza HAPA kununua kitabu hiki.

VIDEO: JINSI YA KUNUNUA KITABU HIKI.

18 thoughts on “KITABU: MILIKI KIWANDA MILIKI UCHUMI”

  1. Me nilinunua lkn cm nienda flash so nmekwama hapo tafadhal nisaidie kurudsha hili file lako la kitabu mana nlikua najifunzia humu

    1. Tuandikie ujumbe whatsapp no. 0659908078 ukiambatanisha na namba tuliyokutumia kitabu kwa mara ya kwanza.

  2. Hongera sana bro Pius nakufatilia sana since day 1 May God bless u?? uzid kutusaidia maana asaiv nmejua kutengeneza vtu vingi

    1. Karibu ndugu. Wasiliana nasi whatsapp 0754745798 au 0659908078 nikupe utaratibu wa kukipata. Karibu sana.

    1. Samahan kwa kupata shida. Kuna mambo ya kiufundi tunayafanyia kazi. Nitakupa mrejesho kabla ya jumamosi ili uweze kupata copy yako.

    1. Kitabu kipo kwenye mfumo wa SOFTCOPY, mfumo ambao unaweza kusomea kwenye simu yako. unatumiwa kupitia Whatsapp au Email yako.

      Ndani ya kitabu kuna Jinsi ya kutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile;

      Sabuni ya mche, Sabuni za magadi, sabuni za maji, shampoo, tiles cleaner, glass cleaner, jik, sabuni za unga, chaki, unga wa lishe, mishumaa, mafuta ya mgando, Tomato source, jinsi ya kuandika mpango biashara, jinsi ya kusajiri biashara n.k

      Gharama yake ni sh. 5, 000/-.

      Baada ya kufanya malipo unatumiwa muda huohuo.

      No.ya malipo ni

      MPESA 0754745798-PIUS JUSTUS

      TIGOPESA 0659908078-PIUS JUSTUS.

      KARIBU?

        1. Kuhusu batiki ni VIDEO tu, huwezi kusoma batiki kwenye kitabu, tafadhari wasiliana nasi whatsapp ili tukupatie video, gharama yake ni sh. 15,000/-
          whatsapp 0754745798

Leave a Reply to Maryam Hussen Cancel Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *