JINSI YA KUPATA FAIDA HADI MILLION 1 NDANI YA SIKU 30 KUPITIA MTANDAO WA INTERNET!

Habari Rafiki, unaendeleaje??
Nina imani unaendelea vizuri sana, na bado upo katika harakati za kuboresha maisha yako, nipende kukutia moyo tu, kuwa uko katika hatua nzuri ya kufikia mafanikio yako, kwani ili kufikia mafanikio ni lazima kufanya kazi kwa bidii na akili pia.

Katika makala yetu ya siku ya leo ninapenda kugusia ni jinsi gani utafaidika na MTANDAO WA INTERNET na kupata mafanikio makubwa sana ndani ya muda mfupi kwa kazi ambayo unaweza kufanya saa 1 au masaa 2.

Kama umekuwa ukifatilia makala zangu na kazi zangu mbalimbali kupitia kurasa zangu mbalimbali za kijamii kama YOUTUBE, BLOG na FACEBOOK umeweza kuona kazi nazofanya, kazi yangu ni ndogo sana, ni kurekodi VIDEO au kuandika POST kwenye blog yangu kwa muda wa saa 1 au saa 2 kisha napost kwenye mitandao yangu, ndani ya wiki moja zinakuwa zimewafikia maelfu ya watu na hatimaye ninatengeneza kipato kikubwa kupitia kazi zangu hizo.

Unaweza kujiuliza ninapataje pesa hasa ninapofanya yote hayo?? 

Kuna njia nyingi za kufanya ili uweze kupata pesa kupitia mtandao wa internet, lakini sitaweza kueleza zote hapa kwani ni somo pana ambalo unatakiwa kupata muda na kupitia mafunzo hayo. Kama utahitaji kujifunza njia hizo, basi Bonyeza HAPA kupata kozi hiyo online BURE KABISA kupitia darasa langu ONLINE linaloendelea sasa hivi!

Kitu cha msingi siku ya leo ninataka kukupa ushauri ili kama utapenda kufanya kama ninavyofanya mimi basi uweze kutumia mbinu hizi kuingiza kiasi hicho cha pesa au hata zaidi, hii itategemeana na speed yako ya kufanya maamuzi.

Kitu cha kwanza kabla ya kuanza biashara hii ni lazima ujiulize unataka kutatua TATIZO GANI katika JAMII?? hapa wengi ndo hushindwa, wengi wanafikiria kupata pesa mtandaoni ni swala la kubonyeza BUTTON na pesa zinamwagika, ndio maana wengi wameibiwa na kupotezewa muda kwenye biashara za mtandao zinazokuja kila kukicha na kujikuta hawajaambulia chochote zaidi ya kupoteza muda wao.
Ili ufanikiwe kwenye biashara hii ni lazima ujikite katika kutatua matatizo ya watu. Mwandishi mmoja aliwahi kusema,

”Money is a reward after solving somebody’s problem”

biashara za namna hiyo ni kama vile fikiria kuhusu Jinsi ya kuwasaidia watu kutatua tatizo la ajira (fundisha watu ujasiriamali kama navyofanya mimi), au kama wewe ni mwalimu tengeneza blog na channel ya youtube anza kuelimisha na kuanza kuuza pamphlets zako na pastpapers, n.k.

Hizo ni baadhi tu ya biashara unazoweza kufanya na ukaanza kuona matunda ndani ya mwezi mmoja au wiki kadhaa.

kitu cha pili ni kujifunza jinsi ya kutumia mifumo ya MTANDAONI ambayo itakusaidia kukusanya watembeleaji kwenye kurasa zako na kukusaidia kukusanya wateja wako watarajiwa kwenye list yako maalumu na hatimaye uanze kutengeneza kipato chako. Usiwaze sana utajifunza wapi yote hayo, mimi nitakusaidia kwa sababu tayari nimefuzu na ndo natumia system hizo mpaka leo ninaendelea kuingiza kipato. ili kupata kozi hiyo BURE bonyeza HAPA utaanza kupata mfululizo wa videos ambazo zitakuwa zinakusaidia kukupa elimu na kukuelekeza njia gani ufate.

Napenda kukupa takwimu za mapato yangu mpaka sasa kupitia kazi nayoifanya mtandaoni;

kupitia Channel yangu ya youtube nimefanikwa kutengeneza Groups 4 za whatsapp ambazo group zote zimejaa watu, nina list ya watu 918 ambao wamelipia sh. 10,000/- kila mtu ili kupata kozi niliyokuwa nikitangaza. hapa ndo utajua Nguvu ya mtandao iko vipi. kwa kozi moja tu nimetengeneza zaidi ya Million 9.

Lakini pia nimefanikiwa kuandika kitabu changu ambacho kinapatikana kwenye mitandao mikubwa ndani na nje ya nchi. Ndani ya Nchi kinapatikana kwenye mtandao wa SIMGAZETI.COM na BECAPI.COM nje ya nchi kinapatikana kwenye mtandao wa AMAZON.COM na sehem zote ninauza SOFTCOPY ya kitabu hicho, na nimefanikiwa kuuza COPY 3200 sawa na Sh. 16,000,000/- 

Kuna baadhi ya watu wanaoniona nikitumia sana mitandao wanadhani napoteza muda lakini kila napojaribu kuwaelezea kuna mafanikio mtandaoni hawaamini kwa sababu wengi wao ni wazembe hawataki kufanya kazi, na ninakwambia wewe unayesoma makala hii kuwa kama  hauko tayari kuamka usiku wa manane na kurekodi video au hata kuandika makala kwa siku za mwanzoni, kazi hii haikufai. Lakini kama wewe ni mchapakazi basi biashara hii inakufaa sana na nakushauri anza kuifanyia kazi mara moja. Uzuri wa kazi hii unafanya kazi kubwa mwanzoni kisha baadae unaanza kula matunda taratibu huku ukiwa umerelax. mimi leo hii bado ninapata pesa kwa video niliyoitengeneza mwaka 2016 mwezi wa 4.

Kama unataka kuanza kazi hii na ungependa nikusaidie kwa kukushika mkono na kuwa karibu na wewe zaidi, na unataka nikupe muda wangu mwingi kukusimamia, basi usisite kuwasiliana na mimi nitakusaidia sana. kuna watu wachache walioamua kuchukua hatua chini ya usimamizi wao tayari wameanza kuona matunda ya kazi hii.

Kama uko tayari Niandikie Ujumbe Whatsapp 0754745798 kisha nitakupangia muda wa kufanya mazungumzo na mimi nikiona unafaa basi nitakusimamia, lakini kama mawazo yako nitaona hayana nia njema basi sitakuwa tayari kukusimamaia, lengo langu nataka vijana tuende na wakati huu wa mabadiliko ya teknolojia, naamini uko tayari sasa.

Tukutane kwenye makala nyingine tena wakati mwingine;
Ni mimi ninayejali mafanikio yako;

PIUS J. MULIRIYE
Whatsapp- 0754745798
www.piusjustus.com

1 thought on “JINSI YA KUPATA FAIDA HADI MILLION 1 NDANI YA SIKU 30 KUPITIA MTANDAO WA INTERNET!”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *