Moja ya mtaji mkubwa ulionao kwenye maisha ni Upekee wako.Tatizo la wengi ni kuwa wanazaliwa hadi wanakufa hawajajua Kitu cha pekee walichonacho.
~~~~~~~
Kwenye kitabu chao cha “Now,Discover Your Strength”(Sasa,Gundua nguvu yako) waandishi Marcus Buckingham na Donald O. Clifton wanasema kila mtu ana uwezo wa kipekee ambao ni zaidi ya watu Elfu kumi wa karibu yake.
~~~~~~~
Unapogundua eneo lako la uwezo wa Kipekee ndio linaitwa “Strength Zone” yako ambayo unatakiwa kuijua na kuwekeza usiku na mchana hapo.Kozi ya kwanza ninayofundisha wanafunzi wangu kwenye MasterMind Coaching Program ya kila mwezi ni kuijua Strength Zone Yako na jinsi ya kuijenga.
~~~~~~~~~
Uwekezaji wenye faida kubwa duniani ni kuwekeza kwenye Strength zone yako.Kadiri unavyowekeza basi ndivyo Kadiri thamani yako inaongengezeka.
~~~~~~~~~~
Je,Umeshaijua Strength zone yako tayari?
Chukua hatua sasa!
Pius J. Muliriye
Whatsapp | 0754745798

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *