MAFUNZO BURE [JINSI YA KUTUMIA MTANDAO WA INTERNET KUANZISHA AU KUKUZA BIASHARA YAKO]

Hellow Rafiki, natumai unaendelea vizuri na harakati za kukomboa maisha yako, naamini kabisa unafanya juhudi za makusudi kufikia lengo hilo, na nikupongeze sana sana!

Kama ambavyo nimekuahidi kuwa nimekuandalia kozi maalumu ambayo itakusaidia wewe kama kijana ambaye una malengo makubwa sana katika maisha yako.

Kozi hii ni moja ya kozi muhimu sana ambayo itakusaidia kupiga hatua kubwa katika maisha yako na kwa haraka zaidi kuliko njia nyingine yoyote ile ambayo umeshawahi kuitumia.

Katika kozi hii nitakuonyesha siri kubwa sana ambayo mimi nimeitumia kuingiza kipato kikubwa zaidi kupitia mtandao wa internet, njia hii inatumika sana na wenzetu wa nchi za magharibi ambao tayari wana uelewa mkubwa sana katika mtandao wa internet, njia hii inatumika katika nchi za Marekani, na ulaya na hata nchi nyingine ambazo zimepiga hatua katika elimu hii ya mtandao.

Hii ni njia mabayo ni rahisi sana kuitumia kama mtu  ana nia ya kutaka kupiga hatua katika maisha yake.
Ebu fikiria, tangu siku imeanza hadi unapoenda kulala umeangalia TV kwa muda gani kulinganisha na simu yako ya smartphone????
Naamini kabisa umetumia muda mwingi  sana kwenye simu yako, na unatumia simu yako kufanya mambo mengi ikiwemo kupata Habari na Burudani pia.

Katika kozi hii nitakufundisha jinsi unavyoweza kutumia simu yako ya mkononi (Smartphone yako) au komputa yako kuingiza pesa huku ukiwa umelala.

Naomba nitoe ONYO katika hili; sikufundishi njia ya mkato kutengeneza pesa, njia hii nayokufundisha inahusisha kufanya kazi na si kulala tu, utaweza kulala na kurelax ukiwa umeshatengeneza mifumo yako vizuri mtandaoni na itakuwa ikifanya kazi badala yako huku wewe ukiendelea kufanya mambo mengine.

Kama uko tayari kuanza mafunzo haya, basi naomba nikupe vigezo. Ili uweze kupata kozi hiyo vizuri ni lazima simu yako iwe na vitu vifuatavyo!

  • Application ya MESSENGER (facebook messenger)- Hii ni ile application ya kusomea ujumbe kupitia facebook. Application hii ni muhimu sana kwani utakuwa ukipata series za video za mafunzo hayo kupitia messenger hiyo. Kama hauna application hiyo  nenda mara moja PLAYSTORE kwenye simu yako kisha DOWNLOAD applicationa hiyo na uanze mafunzo mara moja.
  • BANDO la kutosha. Hakikisha simu yako ina bando la kutosha kuweza kuangalia video hizo nitakazokuwa nakutumia kila siku.
  • CHAJI ya kutosha.
Hayo ni baadhi ya mahitaji ambayo simu yako lazima iwe nayo  ili kupata kozi hii.

Ndani ya kozi hiyo utakuta link ya kujiunga na GROUP yetu ya WHATSAPP ambako utaendelea kupata mafunzo zaidi na kama una maswali utajibiwa kikamilifu huko.

Sasa unaweza kuingia darasani rasmi. Kujiunga tafadhari bonyeza picha hii chini utaanza kupokea ujumbe kutoka kwetu moja kwa moja!
Asante sana, nitafurahi kukuona darasani!
Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako;

Pius J. Muliriye
0754745798
www.piusjustus.com

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *