JINSI YA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI KWA NJIA RAHISI KABISA.

Habari rafiki, Natumai unaendelea vizuri na harakati za kuboresa maisha yako.
Leo hii nakuletea somo muhimu sana ambalo wengi wanatamani kulijua lakini hawako tayari kulitafuta kwa nguvu zao zote kwa kuogopa gharama ambazo wanaweza kuzitumia kupata elimu hiyo.

Je wewe ni mmoja wa watu ambao wanatamani sana kutengeneza kipato cha ziada kupitia mtandao unaotumia kila siku? kila siku unatumia pesa kuingia kwenye mitandao tofautitofauti bila ya kujua unapoteza muda na pesa zako bila ya wewe kujua. Nimejitoa kuwasaidia watu wa namna hiyo ambao hawajui ni njia gani wazitumie kuingiza kipato kupitia mtandao ambao wanautumia kila siku.

Mimi niliamua kuchukua hatua na sasa ninatengeneza kipato takribani kila siku. Utajisikiaje kila siku unapigiwa simu kila siku watu wanaomba huduma yako na wanakulipa? je unajua mimi nafanyaje?

Kama unataka kujua hayo basi endelea kuwa na mimi nitakuonyesha hatua kwa hatua.

Kwanza kabisa nikukaribishe uweze kupata kozi ambayo nimekuandalia hapa mtandaoni naamini itakufungua sana na hapo ndio itakuwa njia yako ya mafanikio katika kufanya biashara mtandaoni.

Angalia video hii kisha chukua hatua mara moja. BONYEZA PICHA HII KUONA VIDEO HIYO.

Baada ya kozi hiyo niandikie kama utakuwa na swali lolote kupitia email yangu piusjustus28@gmail.com au whatsapp 0754745798 nitaendelea kukusaidia.

Kaa tayari kwa masomo mengine mengi kuhusu kozi hizi.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako.


PIUS JUSTUS MULIRIYE
0754745798
piusjustus28@gmail.com

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *