KOSA UNALOLIFANYA KATIKA BIASHARA YAKO

Habari rafiki, natumaini uko salama kabisa na unaendelea vizuri na harakati za kuboresha maisha yako.
Leo nahitaji kukupa tip moja muhimu sana katika biashara yako.

Nimekuwa nikisikia watu wengi wakisema biashara zao hazitoki, hazifanyi vizuri sokoni na wengine wamefikia hatua ya kusema biashara zao ni mbaya ndo maana hazinunuliwi.

Leo nataka nikwambie, bidhaa yako ni nzuri sana na jamii inaihitaji sanaaa, tatizo kubwa kwa watu wengi hawajui kufanya masoko (MARKETING).
Nimekuwa nikiona watu wakipost picha za bidhaa zao mtandaoni na bado wanashangaa kwanini watu hawanunui na wakati tangazo lake limeonekana na watu wengi.

Ukitaka kutangaza bishara yako mtandaoni ujue kabisa kuna Formula ambayo inatumika kutangaza biashara mtandaoni na kupata wateja wengi sanaaa.
Siri kubwa ya kufanikiwa mtandaoni jaribu kujifunza sana, acha uvivu, gharamia elimu hiyo utaona matunda yake.

Kama utajitaji nikushike mkono katika kutumia mtandao kufikia watu wengi sana mtandaoni basi wasiliana nami whatsapp 0754745798 tuzungumze na nitakusaidia kufanya hivo.
Asante sana.
Ni mimi ninayejali mafanikio yako.

PIUS J. MULIRIYE
0754745798-Whatsapp

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *