Uncategorized

Tutafakari pamoja hoja hizi za mwenzetu ole mushiTUMEMWACHIA RUGE JUKUMU LA KUFUNDISHA WATANZANIA NINI MAANA YA FURSA?Na Thadei Ole Mushi. #Huwa nacheka sana ninapoona mawaziri wetu wakikimbizana na Ruge mikoani kuzindua kitu kinachoitwa Fursa. Najiuliza pale Mlimani wanafundisha nini? Najiuliza pale SUA wanafundisha nn? Najiuliza shule zetu za A Level wanafundisha nn? Huku ngazi za

Read More »

MWANAMKE MSOMI ALIYEJIKITA KATIKA USHONAJI

Joyce Ryoba  ni mwanamke mwenye shahada ya pili(Masters Degree) katika elimu ya jamii kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye hakutaka kuajiriwa na sasa akiwa amejikita katika ubunifu wa nguo . Akiwa anasoma shahada ya kwanza mwaka wa mwisho  Joyce alianza kujitoa kusaidia watoto walio mtaani na hata alipomaliza aliendelea kufanya hivyo japo maisha yalikuwa si rafiki

MWANAMKE MSOMI ALIYEJIKITA KATIKA USHONAJI Read More »

MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWEZA KUNUFAISHA BIASHARA YAKO

Mitandao ya kijamii si tu inatumika kwa kuwaunganisha watu au kupata taarifa mbalimbali bali hata kibiashara pia.  Yapo makampuni, mashirika na watu binafsi wanaitumia vema kibiashara na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa tu. Sasa na wewe unashindwa nini kufanya hivyo ikiwa unawashuhudia wengine wakinufaika na biashara zao? Lakini kabla ya kuamua kutumia mitandao ipi ya kijamii

MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWEZA KUNUFAISHA BIASHARA YAKO Read More »

Makosa 7 Unayofanya Katika Kutangaza Biashara Yako Katika Mtandao Wa Facebook

Huna brand yako binafsi na unatangaza aina ya bidhaa au huduma ambayo maelfu ya watu wengine wanatangaza jambo ambalo linakuzamisha kwenye ushindani mkubwa. Huna mfumo wa mauzo ya mtandao (online marketing system) wenye kukusaidia kukufanyia mauzo kwa niaba yako. Huna kurasa ya biashara ya Facebook (Facebook Business Page) na hata kama unayo inatangaza brand ya kampuni nyengine. Hulengi kundi la

Makosa 7 Unayofanya Katika Kutangaza Biashara Yako Katika Mtandao Wa Facebook Read More »

PATA FAIDA YA HADI 10% MPAKA 15% NA KAMPUNI HII

Habari Rafiki yangu mpendwa na msomaji wa makala zangu katika mtandao huu wa Shule Tanzania.  Nimekuwa nikiandika makala mbalimbali kuhusu mtu kujitambua na kuweza kutumia kile kilicho ndani yake kufanya mabadiliko katika maisha yake.  Naamini umekuwa ukipata mafunzo haya mara kwa mara na umekuwa ukichukua hatua, kama ni mtu wa kusoma tu halafu huchukui hatua

PATA FAIDA YA HADI 10% MPAKA 15% NA KAMPUNI HII Read More »

NAMNA YA KUISHI KWA KUJIWEKEA AKIBA (SAVINGS) ILI KUWEZA KUFIKIA MALENGO BINAFSI

©Eskimi 1. Epuka kununua vitu bila mpangilio usioelewaka. Mfano sisi wanaume unaweza kununua viatu vichache vyenye ubora ili fedha yako uipeleke kwenye malengo yako. 2. Epuka kushindana na fashion. Unaweza ukajiwekea kipindi maalumu cha kufanya manunuzi ya nguo na vitu vingine ambavyo vinaendana na hivyo. kutaka kila nguo nzuri inayotoka na ili kuonekana nayo, hii tabia

NAMNA YA KUISHI KWA KUJIWEKEA AKIBA (SAVINGS) ILI KUWEZA KUFIKIA MALENGO BINAFSI Read More »